BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Katuga kwa shahidi: Unajua kwamba kutoa ushahidi wa uongo chini ya kiapo ni kosa la jinai?
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, inaendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Dar es Salaam.
Moja kwa moja, Iran yalipiza kisasi kwa washirika wa Marekani baada ya meli zake za mafuta kuharibiwa
Iran imeanza kulipiza kisasi dhidi ya washirika wa Marekani katika eneo la Ghuba, baada ya Marekani kuharibu meli tano za mafuta za Iran.
Lini Afrika itapata Ballon d'Or tena?
Sadio Mane and Achraf Hakimi have been nominated for this year's Ballon d'Or - but when will an African claim football's top individual prize for the first time since 1995?
WARIDI WA BBC: 'Miaka 7 bado ninasubiri mwanangu kuniita mama'
Rehema ambaye kupitia nyimbo kama Chanzo, Ndiyo yako na Nina ushuhuda alijizolea umaarufu katika anga la muziki wa injili Afrika mashariki tangu mwanzoni mwa mwaka 2020 anasema wakati wote huo alikuwa akipambana na huzuni na uchungu uliotokana na kutokubali hali ya mwanae wa kwanza.
Nani anapigiwa chapuo kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa msimu huu?
Ligi ya Mabingwa Ulaya imeanza tena usiku wa kuamkia Jumatano, Septemba 9, huku baadhi ya timu kubwa zikianza kampeni zao kwa ushindi.
Nchi hizi 9 zilipataje silaha za nyuklia?
Marekani ilikuwa nchi ya kwanza duniani kutengeneza silaha za nyuklia kupitia mpango wa siri wa Manhattan Project wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
Eda ni nini? Je, Rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?
Swali hilo linapata uzito zaidi linapomhusu mwanamke mwenye wadhifa mkubwa wa umma, kama Rais wa nchi ambaye ni Mwislam. Je, Eda ni nini? Je, rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?
Tetesi za Soka Ulaya Jumatano: Liverpool yamfuatilia Thiaw
Liverpool yamfuatilia Thiaw, Fulham yamtaka Bassey abaki, James Rodriguez kwenye mazungumzo ya Serie B.
Raia wa kigeni nchini Kenya wana siku 90 kuwa na vibali vya kazi
Kenya imewapa raia wa kigeni wanaoendesha biashara ndogo ndogo siku 90 za kuratibu hadhi yao ya uhamiaji, vibali vya kazi na leseni za biashara.
Kwa nini nchi za Ulaya zinahamisha dhahabu yao kutoka Amerika Kaskazini?
Takribani tani 86 kati ya karibu tani 313 za dhahabu zilizokuwa zimehifadhiwa nchini Marekani na Canada zilihamishwa kwenda London, "kutokana na kuongezeka kwa hali ya kutokuwa na utulivu wa kisiasa duniani".
Jinsi ubongo wa nzi unavyoweza kuelezea tabia ya binadamu
Watafiti walichora miunganisho milioni 124 kati ya seli zote za neva katika ubongo wa nzi dume.
Mashindano ya 'uzembe' yanavyoenea duniani
Mashindano hayo yalianzishwa Seoul mwaka 2014 na msanii wa maonyesho anayejulikana kwa jina la Woopsyang, baada ya yeye mwenyewe kukumbwa na uchovu mkubwa wa akili na mwili.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
'Wizi wa nyeti': Jinsi mitandao ya kijamii ilivyochochea uvumi uliogeuka mauaji
Zaidi ya watu 80 wamepoteza maisha kutokana na mashambulizi ya umati, uchunguzi wa BBC umebaini baada ya kukusanya takwimu kutoka mataifa sita barani Afrika.
WARIDI WA BBC: 'Ulishawahi kumuona bilionea Mo Dewji akifunza watu elimu ya fedha'?
Kuishi nje ya kipato ni moja kati ya makosa ambayo baadhi ya watu wanafanya kwa kujua au kwa kutojua.
Majengo 8 yenye rangi za kuvutia zaidi duniani
Matumizi ya rangi kuwasilisha hisia za furaha na uzuri yamekuwepo kwa maelfu ya miaka.
Jinsi papa wanavyojenga urafiki wa karibu baharini
"Papa mara nyingi huonekana kama viumbe wapweke, lakini utafiti mpya unaonyesha kwamba papa wana uhusiano mkubwa na maisha tata ya kijamii."
Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?
Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?
Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.
Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?
Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.
Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.
Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?
Je, Iran itaishambulia Ulaya?
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Je, Tanzania inaweza kufikia maridhiano ya kisiasa bila CHADEMA na Lissu?
Historia ya Tanzania inaonesha baadhi ya hatua kubwa za maridhiano ya kisiasa zilihitaji serikali na vyama vikuu vya upinzani kukaa meza moja.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 9 Septemba 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 9 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 9 Septemba 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 8 Septemba 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































